Monday 2 December 2013

Prezzo Reveals Why Women Throw Themselves at Him

From Sheila Mwanyigha to Daisy Kiplagat to Joy Wanjohi to Goldie (RIP) to Huddah Monroe to Diva Boss and now Stella (Chagga Barbie), his ‘rapcellency’ Prezzo is Kenya’s own serial famous-lady dater. Which makes you wonder what is it about Prezzo that ladies throw themselves at him.
The ladies-man extraordinaire was recently hosted by Mwanaisha Chidzuga on her news show on KTN where he a few secrets regarding his love life. Prezzo is the one celeb who has had success in wooing some of the most well-known women in Kenya - at least for one date.
With this in mind, Isha sought to find out how come so many women fall for him. Here’s an excerpt of that conversation;
Isha: Katika maswala ya uhusiano ya kimapenzi, Prezzo umegonga vichwa za habari sana; kina dada wanajirusha, wanasema we ndo mfalme. Ukijirusha kila mtu anapanga foleni. Huwa wafanya nini hao kina dada ambao kila kukicha wakiskia Prezzo basi roho zawaenda mbio?
Prezzo: Unajua nilimuuliza mamangu pia, you know, hilo hilo swali. Nikamuuliza mbona ivi mama? Mama akaniambia ah, una damu ya kupendwa. So I guess you know…ni io tu. Nina damu ya kupendwa. Siwzi kusema ni ivi ivi na vile. You know me ni mtu ambaye naishi maisha yangu jinsi nilivyo so watu wananichukulia jinsi nilivyo. Watu wananipenda nilivyo.
The number of women he’s had has earned him the name, “King Mswati” among his cousins.
Asked about why he jumps from one woman to another Prezzo says, “Ukiwa mtu maarufu mpenzi wako lazima awe mtu anayeelewa sana…mimi si mtu wa kawaida…mimi ni mtu wa watu.”
Most of his exes protest that Prezzo is not lovable allegations that he vehemently denies saying it’s those chics who don’t understand him. He is popular and that bothers the girlfriends.
Here’s the full interview;

0 comments:

Post a Comment